Ibada ya msiba..
Kutakuwa na ibada maalum ya kumsindikiza marehemu Joachim Alois Tesha leo kuanzia saa mbili usiku.Ibada hii itafanyika nyumbani kwa John na Kidada Tesha 1000 S Woodlawn, Apt 1403.
Kina dada mnasisitizwa kuendelea kushirikiana na Amina Kapya na Anna Salehe kwenye swala la chakula,na kina sisi ni swala zima la vinywaji.