Baadhi ya wanachama wachache waliotokea..
Wanachama wakisikiliza maelezo toka kwa president Jerry Mkony.Maada nyingi zilijadiliwa na mikakati mingi kupangwa..
Baadhi ya kina dada waliojitokeza leo.Ni wanachama 19 tu walioweza kufika kwenye mkutano huu.Ingia kwenye website ya Tawichita kwa maelezo zaidi juu ya mipango mbalimbali ya chama kwa wanachama na jumuiya kwa ujumla,connections zilizopo kati yetu na NSSF,DICOTA,CRDB n.k katika kunufaisha watanzania waliopo nje.
President Jerry Mkony akitoa maelezo mawili matatu juu ya maada kadhaa zilizojadiliwa leo..
Clement Mtawala a.k.a Mazaza akipiga kura akiwa na mwanae Kisa..
Baadhi ya viongozi wapya wa Excutive Committee Joseph Kabukire,Angela Kisanko,na Stella Allen kwenye picha ya pamoja.
Hongera nyingi kwa Subira Mabuba aliyepata kura 17,akifutiwa na Stella Allen(16).Viongozi wengine waliochaguliwa leo ni Joseph Kabukire,Leonard Fungasha,na Angela Kisanko walipata kura 15 kila mmoja.Committee hii itakaa chini na kuchagua chairman/chairperson wao baadae.
















