RSS
 

Archive for February 2nd, 2010

Msiba..

02 Feb

Taarifa ya msiba Wichita..

Ndug zetu John na Jema Tesha wamefiwa na mzee wao Joachim Alois Tesha leo Feb 2 huko Tanzania.Marehemu anatarajiwa kuzikwa Rombo,Kilimanjaro Jumamosi ya Feb 6.Marehemu ameacha mke na watoto wanne.

Kwa hapa Wichita,msiba utakuwepo nyumbani kwa John Tesha: 1000 South Woodlawn Apr # 1403,Wichita,Ks,67218 .John anatarajiwa kwenda kwenye msiba Jumatano Feb 3.

Tunaombwa kwenda kuwapa pole ndugu zetu hawa katika kipindi hiki kigumu.Kutakuwa na harambee pia.

Mungu aiweke roho ya marehemu Joachim A Tesha mahali pema peponi,Amin.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark