RSS
 

Archive for August, 2009

Taarifa ya msiba..

31 Aug

Habari ya msiba..

Kwa niaba ya ndugu yetu Fredrick Makubi wa hapa Wichita,Kansas blog hii inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mkubwa Bernice F Makubi jioni ya leo nyumbani kwao.Binti huyu alikuwa na umri wa miaka 5 na miezi 9.Kwa taarifa kamili na shughuli nzima ya msiba huu wasiliana na namba hii ya ndg Makubi 316-519-0490.Tunaombwa kushirikiana na ndugu yetu Fredrick katika kipindi hiki kigumu.

Msiba upo nyumbani kwake:
2134 S Bennett.
Wichita,KS 67213

..Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi,amin..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

For sale..

30 Aug

Brand new Dell desktop Inspiron 530..

Specifications:

Condition:

New, Sealed in Box

 

Processor Type:

Intel Core 2 Duo

Brand:

Dell

 

Processor Speed:

2.4 GHz

Operating System:

Windows Vista Home Premium

 

Processor Configuration:

Dual Core

Primary Drive:

DVD+/-RW

 

Memory (RAM):

3 GB

Bundled Items:

Keyboard, Modem, Monitor, Mouse, Network Card, Speakers

 

Hard Drive Capacity:

500 GB

It is also including:

22″ E228WFP Widescreen LCD Monitor

Plays & Creats DVDs & CDs (DVD+/-RW)

Dual-Core MultimediaProcessor

500GB Serial ATA Hard Drive (7200RPM) w/DataBurst Cache

Integrated Intel Graphics Media Accelerator 3100

Plays & Creats DVDs & CDs (DVD+/-RW) and watch,record TV channels from your service provider.

Retail price…$900-1200 but I can sell it for only $650.

**….For more info call this number 316-218-8460….**

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Hongera Jerry na Ronald..

30 Aug

Blog hii inapenda kutoa hongera nyingi kwa ndg Jerry Mkonyi na Ronald Maingu kwa kuchaguliwa kuongoza chama cha watanzania waishio Wichita,Kansas.

..Kama ilivyokuwa desturi ya blog hii,itaendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa kila jambo lenye manufaa na kulenga jamii yetu…

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Mkutano wa Tawichita jana…

30 Aug

Jioni ya Aug 29,hapa Wichita palikuwa na mkutano mkuu wa mwaka ambapo members walipata nafasi ya kujadili mambo mbalimbali na chama chao(tawichita) ikiwa ni pamoja na kuchagua viongozi wapya.

..Hizi ni baadhi ya picha na video nilizoweza kuzipata…kila kitu was great kwa kweli.

Viongozi waliyopita..Katibu ndg Jimmy Kiwele(kushoto) na President Lunda Asmani.

Ndu Ronald Maingu ambaye alikuwa mweka hazina(treasurer) wa Tawichita akitoa maelezo na takwimu ya jinsi gani fedha iliingia na kutoka..sio kazi rahisi kama hauna knowledge accounting na mambo ya kufungua na kufunga ledgers.

..baadhi ya wanachama na wageni wakisikiliza maelezo kwa umakini..


..web master wa tawichita,Bruce akitoa maelezo kwa mbali juu ya maswali kadhaa kuhusu website yetu ya tawichita.net.

..idadi ya wanachama walijitokeza kwenye mkutano huu ilikuwa kubwa ukilinganisha ni mikutano iliyopita..

..mgombea wa urais Jerry akiwa na mgombea mweza wake ndg Ronald Maingu wakitoa sera zao kabla ya wanachama kupiga kura.

New president wa Tawichita ndg Jerry Mkonyi akitoa nasaha na shukrani kwa wanachama baada ya uchaguzi,katikati ni ndg Lunda Asmani(former pres)na aliyekaa ni makamu wa rais ndg Ronald wa Maingu…Hawakuwa na mpinzani so kura za ndio-hapana zilikuwa kwenye ratio ya 25:1.Pia Jimmy Kiwele alikubali ombi la uongozi mpya la kuendelea na nafasi yake ya ukatibu.Viongozi hawa watakuwa madarakani kwa kipindi cha miaka 2 kabla ya uchaguzi mwingine.

 

 

..wanachama wakibadilishana mawazo mara baada ya mkutano kufungwa..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Future tennis players..

30 Aug

I’m trying to raise some future tennis players here..

…from left to right:Kegan,Tyler and Quinton a.k.a Bubble….

They may become next Rafa,or Roger or James Blake who knows..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Hongera..

30 Aug

Hongera nyingi kwa wadau hawa David na Annlice…

David na wife wake Annlice…oops nilisahau kusema R.I.P kwa senetor Kennedy(D) kwenye picha(TV) pembeni.

Kutoka kushoto ni Tuny,Misty(wife),Annlice,David na mwanao Grace.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Dj AM found dead..

29 Aug

The so most celebrity Dj in Hollywood and in the big apple(New York),Adam Goldstein a.k.a DJ AM was found dead in his New York apartment Friday Aug 28th.

Dj AM was 36-year old and his death is believed to be from a drug overdose.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Mkutano Tawichita..

28 Aug

Ule mkutano wa chama cha watanzania waishio Wichita,Kansas ni kesho Aug 29th jioni ya saa 11 kwenye park ya Boston.Address ya park hii ni:6655 E Zimmerly St,Wichita, KS 67207-2850

Agenda ya mkutano huu ni kama ifuatavyo:

1. Administration report
2. Financial report
3. Election
4. Statement from newly elected (President & Vice president)

    Wote mnakaribishwa…

——————————————————————————————————————————————

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Preview ya baby powder..

26 Aug

Kwa wale wapenzi wa movies za kibongo basi mnaombwa mkae mkao wa kula kwani wadau wa ATL wanakuletea filamu kali iendayo kwa jina la “baby powder“.Movie hii inayowakutanisha magwiji kadhaa wanaochipukia kwenye fani hii kama Lambart(LBT),Tuni Ngigi,na yule mkakamavu “Albino Fulani“.Movie hii kabambe inatarajiwa kuanza kuonyeshwa rasmi mwezi November tarehe 26.Shooting yake ilifanyika Atlanta chini ya ma-producers kama John Mahundi,Emanuel “Sajo” Mwambinga,Abdallah Mustafa,na Lawrence Karabani.

..Tazama official preview ya movie hii hapa chini toka youtube:

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Mazishi ya kina mangi..

26 Aug

Kwa watani zangu wachaga…

Familia moja ilishangazwa pale walipopokea jeneza la marehemu mama yao aliyefariki nchini Marekani.Lilitumwa na mmoja ya watoto wake wa kike.Mwili ndani ya jeneza ulikuwa umesongwa sana ndani ya jeneza kiasi kwamba uso wa marehemu ulikuwa umegusa kioo cha jeneza!Walipofungua jeneza, walikuta barua juu ya merehemu, iliyosomeka namna hii:

…”Wapendwa ndugu zangu, nimeutuma mwili wa mama yetu kwa ajili ya mazishi, kwani imekuwa siku zote hamu yake kubwa kuzikwa nyumbani Machame, katika nyumba ya ukoo. Samahani sikuweza kuja na mwili kwani nimenyimwa likizo kwani kuna upungufu wa wafanyakazi hapa kazini mwezi huu.Ndani ya jeneza, chini ya mwili wa mama, kuna makopo 12 ya samaki wa makopo, paketi 10 za supu ya Royco na chupa 8 za jam ya maembe. Mgawane hivi kwa jinsi mtakavyoamua nyinyi.Katika miguu ya mama kuna pea moja ya viatu vya Reebok namba 9 kwa ajili ya mtoto mkubwa wa Mushi. Pia, kuna pea mbili za viatu kwa ajili ya watoto wa Urassa na Kwayu, natumaini nitakuwa sijakosea namba za miguu.Nimemvalisha pia mama American T-shirts 6, kubwa kabisa ni kwa ajili ya Manka, na zinazobaki ni za watoto wake. Hizo jeans mpya 2 ambazo mama amezivaa ni za wavulana. Hiyo Swiss watch mkono wake wa kushoto ni zawadi ya Koku kwa ajili ya sikukuu yake ya kutimiza miaka 21. Anti Rebeka, hizo heleni, mkufu na pete ambazo mama amevaa ni zako.Hizo soksi 6 ambazo mama amevaa wagaiwe wajomba. Tafadhali mgawane kama nilivyosema na kama kuna kitu kingine mnahitaji, basi mnieleze kwani hali ya baba nayo siku hizi si nzuri sana.

            Dada yenu mpenzi,Mama Manka

NB:Kama una jokes zozote za kikabira basi unaweza kuzituma kwenye emails hizi tuny79@gmail.com au tuny@tunyfish.com au tunyfish@hotmail.com.

Jokes from jamii forum.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

What do you do..?

26 Aug

I wonder what others do when they get some stupid scam emails like this over and over and over…this one supposedly was from Burkina Faso.

I NEED TRUST

Dear Good Friend,
 
I am Mr.Asita  Ali, The Chief Auditor/Information Manager, In-Charge of Foreign Unit of our bank and i have had the intent to contact you over this financial transaction/transfer worth the sum of Twenty Nine Million Two Hundred Thousand U.S Dollars (US$29.2M)for our progress and richness.This is an abandoned sum that belongs to our late foreign customer (an International Billionaire French Businessman) who died in plane crash disaster since three years ago along with his wife.
 
I was opportuned to see the deceased deposit file bearing this huge amount of money when i was inspecting the dated and current customers files in other to sign and submit to the entire bank management for an official validation / re-documentation against the statement approval to the account holders for the year. In a swift investigation carried out by me, i found out that non of the deceased relative is aware of the abandoned fund except his late wife. 
As a result of that, it is an extremely confidential matter between me and you.

Hence you are a foreigner to our country, you are authorized by our Banking law to apply and claim the fund into your account as the NEXT-OF-KIN to the deceased. For assisting me to get the fund transferred into your bank account, the ratio of 40% of the total sum is for your share whereas 60% is for me as business pioneer.

Please i need your urgent response on assurance of trust that you will not deny my right of the share once the fund gets into your account because i am a poor civil servant who depend on little monthly salary. That you are the one who will help me to get visa to your country immediately i resign from my work on the instant of the transfer into your account.
If you are realy sure of your integerity, trustworthy, and confidentiality,
reply urgently and to prove that, include your particulars as follows.

Private telephone and fax numbers?……….
Country of Origin?……………………………
Your occupation?…………………………….
Your official age?……………………………..
Your passport or ID card number?…………..
 
Thanks
My private e-mail
asita.ali0022@yahoo.com
                        +226 78 10 29 55
MR. ASITA ALI

Don’t fall into this stinky scams from west Africa my friends…

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Ka-image ka leo…

24 Aug

Nani kasema hakuna land rover kama hizi marekani?

Nadhani Mazaza atakuwa anakumbuka fresh picha hii ilipigiwa wapi.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Kulikoni baba Moi huyu..?

24 Aug

Vipi tena baba Moi huyu..?

Kwa wenyeji wa Wichita na vitongoji vya karibu kumekuwa na baadhi ya ndugu toka Kenya ambao nadhani wanafikiria bado wapo Kisumu au Kericho.Umeyasikia yaliyotokea majuzi kwenye Nursing home yenye wabongo na wakenya wengi hapa Wichita?Kuna “bazazi” mmoja anayesadikika ya kuwa ni mkenya alihamua kuipasua na kuigalagaza vibaya mno moja ya amri kumi za Mungu kazini.Bazazi huyu(Jina kapuni) amekuwa gumzo sana kwa mabinti kazini hasa kwa jinsi anavyoendekeza na kuonyesha hadharani ni jinsi gani anashindwa kudhibiti tabia yake chafu kwenye safu ya ngono.

Kwa kifupi tu,baba Moi huyu alikutwa akimla uroda moja ya ma-housekeeper kwenye chumba cha resident mchana wa jua.Tabia kama hizi ndizo hasa zinanisukumua kuandika na ku-post hapa ili kama muhusika au mtu mwingine mwenye tabia kama ya mchafuzi huyu basi wawe aware.

Kweli baba Moi huyu alishindwa kutafuta sehemu muhafaka na kumaliza haja zake?Nani wa kulaumiwa hapa?Ndio tunajua kuna watu kadhaa wenye kufanya tabia hiyo hapo kazini kwa muda mrefu ila please mchana kabisaaa?Man,this is too much!!Nadhani ni wakati mzuri kwa mwalimu maarufu wa CNA kwa wakenya na wabongo aongeze somo linalohusu sexual harrassment ili misukosuko kama hii ipungue.Kuna habari toka viredio mbao kadhaa ya kuwa bazazi huyu alipewa warnings kadhaa mara ya kukutwa kwenye mazingira ya kutatanisha na baadhi ya manungayembe hapo S.Bay kiasi cha kupelekwa kwenye madarasa ya sexual harrassment ambapo alifuzu fresh.Ila baada ya hii na housekeeper tajiri wake yalimfika shingoni na kumpitisha mbio mara moja.Housekeeper huyu inasemekana ni “bi” yaani anakwenda na wanaume na wanawake pia,inategemea yupo kwenye mazingira yapi.

Hey,baba mois na wabongo wenzangu,tujaribu kucheza karata zetu fresh,issue kama hii inatuweka kwenye kundi moja na tunaonekana kama hatua akili nzuri.Fikiri kwa kutumia kichwa halisi na si otherwise kabla ya kujikita kwenye matendo kama hili.Seriously,next upuuzi kama wa huyu kijana toka Kenya unatokea basi sitasita kujumuisha na majina kabisa.

Kwa wabongo:Kuna uvumi wa baadhi ya watu kufanya viji-tabia visivyo rasmi kwa visingizio vya pombe,kale ka-issue baada ya party ya mambo ent na 316 ent wiki kadhaa zilizopita some folks know about it,so watch out bazazi nyie.Kwa sasa wacha tu-blame on alcohols tu.

By the way,nipo mbioni kutegeneza page maalum kwa watu na vimbwanga kama hivi ili kuweka sawa kitabia,kama una wazo juu ya jina la page hii basi nitumie barua pepe(email) via tuny79@gmail.com au tunyfish@hotmail.com.

……Siku njema pal!!

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Caster Semenya of SA..

24 Aug

After Caster Semenya won 800 and 1,500 meters in Berlin last Wednesday,there were a lot of people who criticised her gender if she is real a woman or just a dude who was cheating.This is Caster Semenya of South Africa and she is only 18-year old..you be the judge by just look at her photo and how she ran in Berlin last week.

…at the final stage…

..and here is after she blew her opponents of by almost 2 secs in 800 meters running.

..”I can give you the telephone numbers of her room-mates in Berlin. They have already seen her naked in the showers and she has nothing to hide,” said her coach Michael Seme.

..then was Jacob who is the father of Caster told Associated Press …“She is my little girl. … I raised her and I have never doubted her gender,” he told the Sowetan newspaper. “She is a woman and I can repeat that a million times.”

Man!!things are getting crazy every where now.From steroids and other banned substances to gender issue.I wonder how things will be like 10 years from now.


VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Dalili za tabia mbaya..

23 Aug

Kama una mtoto/watoto wa kiume basi hizi ni baadhi tu ya dalili ya tabia mbaya mbeleni..

..hii sio mbaya sana hasa kama mzazi ana-park gari hovyo..lol

..ila hii nadhani inahitaji maelezo toka kwa mtoto..

Akifikia hatua hii basi nadhani ni too late,samaki huyu hakukunjwa angali mbichi..tegemea wajukuu tu ndugu yangu.

Picha toka kwa mdau susy au mama mambo ent..lol
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark