RSS
 

Archive for July, 2009

kwa bongo fresh ila kwa…

31 Jul

Wadau wa kiwanja mnaonaje picha hii…?

Nilikuwa nacheki habari kwenye blog ya brother issa michuzi juzi nilikuwa na jamaa(sio wabongo),wakaniuliza juu ya watu hawa kwenye picha(Waziri mkuu na bwana Abbas Tarimba) kama wanauhusiano wa kinanii.Ilikuwa ngumu kwa wao kupata picha ya wanaume kushikana mikono like this.Kwa kifupi jamaa wanadhani Tarimba na Pinda ni madunya.

……Karibu bongo my friends…

      picha toka issamichuzi.blogspot.com
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 5.5/10 (2 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Mambo ya tawichita..

31 Jul

This is some of the goodies tawichita keeps giving to our society and to those who are in needs..


…Tanzania Association of Wichita Engineering Club (STEM) and Uhuru Foundation have project to collect books for Tanzanian school and colleges. This book drive will initially involve books for Math, Physics, Biology, Chemistry and Health Science/Nursing books. The book drive involves two phases. Phase I involves collecting used books from members of the Tanzania community. Phase II involves soliciting books to be donated from local academic institutions and book stores….
 
Uhuru Foundation is a tax exempt not for profit 501(C) (3). You will receive a receipt for donation that will be tax deductible. If you have any books you want to donate or ideas to help with this project, please contact any of the following.
 
Arthur,Wilson,Subira,Lunda,Mwiga,or Nsubi  

……Thank you for your support.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Michael Vick..

29 Jul

Vick is out and ready to snap and throw balls..

Michael Vick during his primetime as a Falcon’s QB…

..and this was what him and his friends were doing for fun and getting extra money..making dogs to fight and kill those who were not winning..

Roger Cadell and the NFL have given Michael Vick another shot to redeem his image from the dogfight situation he faced two years ago.The question is,what NFL team will ever give the troublesome QB a chance to play football again?He will be available to play regular season games starting from week 6,sometime in October…

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Few tips to handle bad economy..

29 Jul

 Stop worrying too much and relax…

We all know how bad the economy is right now,but don’t let this take control of your life.I have gathered some few tips that might useful to you during this time time we are in…

 Practice teamwork…

 Trust your good partners…

 Relax when its necessary…

Smiling can help loosening those tensions from hard work…

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Msiba…

29 Jul

Taarifa ya msiba…

Kwa niaba ya Mama Anna Saleh, TAWICHITA inasikitika kutangaza kifo cha Dada wa mama Anna Saleh kilichotokea Msoma, Tanzania jumanne. Mipango ya mazishi inaendelea.
Tunawaomba watanzania tuungane na mwenzetu, twende kuwapa pole na pia kuwasadia katika kipindi hiki kigumu. Msiba upo nyumbani kwa Dada wa marehemu (Mama Anna Saleh) 5400 E 21st street APT # 1216 Wichita, KS 67220. (Woodgate Apartments) namba ya simu ya mfiwa ni (316) 650-9072.

Bwana ametoa na bwana metwaa,mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi,amin

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

“kipunga” cha baby shower…

28 Jul

Then was baby shower thing..

Jioni ya Jmosi palikuwa pia na shughuli ya baby shower na ndugu zetu John Adhelo na dada Linda.John Adhelo aliwahi kuishi Wichita kwa muda mrefu kabla ya kuhamia Kansas City na dada yetu Linda ni mdogo wa dada Anita Lyimo.

Baba mtarajiwa,ndg John Adhelo akitasmini shughuli kwa mbali.

Fungasha akiwa na Fungasha Jr kwenye baby shower ya John na Linda..

Dada Eva akipitisha kapu kwa wageni,dada Eva ni moja wa ma-MC wazuri katika shughuli kama hizi.Hand down dada Eva..

Yap,baby shower za siku hizi hazihusishi kina mama  tu,ni moja ya changes muhimu katika mambo ya usawa…lol

Lundo la zawadi kwa mtoto-mtarajiwa…

Kwa wale wadau wanaopenda kujua habari zaidi ya ndugu hawa ni kuwa wanatarajiwa kupata mtoto wa kuime mwezi ujao na nadhani jina la mtoto sio Adhelo Jr ni Austin.Adhero ni rafiki wa karibu wa Dennis Lweikiza au Mbelwa ambaye amefunga ndoa hivi karibuni na Anita Lyimo.Nadhani unaweza kuunganisha hizi dots kujua John na Linda wamekutanaje.Sorry Adhelo for this.

Hongera sana kwa hatua kubwa mliofikia katika kuanza familia,kumbukeni kuwa kama mtahitaji ushauri wa uzazi basi kuna ndugu wengi wenye uwezo wa kuwapa maelezo ya Awali na mimi ni mmoja wapo.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 1.0/10 (1 vote cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Message from Tawichita..

28 Jul

In case you did not get email from tawichita about the upcoming events,here are some community events that are going to happen next month.
1.  WATOTO DAY: Saturday August 15
This event is open for all children and their friends. We will have lots of fun activities, bouncies, hot dogs and games for kids. The event will be from 4pm-8pm. The Tawichita Engineering Club (STEM) will also demonstrate many fascinating and cool science projects to inspire our children.
This is a kid friendly event so we will not serve alcohol and we discourage parents and friends from bringing alcohol to the event. Gilbert and Rahma have graciously offered to host the event in their yard at 1218 Stoneybrook Circle, 67207

2.TABLE TENNIS COMPETITION: Saturday August 22
The table tennis tournament will take place Saturday August 22nd from 4pm-8pm at Boston Park Recreation Center. Tournament registration will begin at 4pm and competition will begin immediately after registration. Tournament is open to men and women, Tanzanians and friends or relatives of Tanzanians. The participation fee is $5.00.
 
3. TAWICHITA ELECTIONS & GENERAL MEETING: Saturday August 29th.
The Tawichita elections will take place Saturday August 29th starting 5pm. As per the new constitution adopted December 2007, we will be electing a President  and Vice President running mate on the same ticket.  The President and Vice President will then appoint their own Treasurer and Secretary.
 
Anyone interested in running please email 
president@tawichita.net . To be elected you must first become a member of Tawichita. Please email name of both President and Vice President together.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Mazoezi ya tennis..

27 Jul

Jmosi jioni ndani ya Cessna park..

Brother David akirudisha shot toka kwa mhasimu wake Husein..

Nikiwa na Husein wakati wa break fupi..sio siri wabongo wa Wichita wanajua michezo..

Wakati wa kubadirisha side,hii ilikuwa mechi kati yangu na Husein na matokeo yalikuwa ni ushindi kwa  Husein wa 6-4.

Sio siri,ni mara yangu ya kwanza kupiga game ya singles na was really fun.Shukrani nyingi kwa kocha David na washiriki wengine kama Husein,John Salia na makocha wadogo kama Shubi na Sadiq.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Congrats to Federer…

24 Jul

Congrats to Roger and Mirka…

On Thursday night,Roger Federer and his wife Mirka had welcomed twin girls to their family.They are named Charlene Riva and Myla Rose.

  “I have some exciting news to share with you,” Federer said on his Web site and Facebook page. “Late last night, in Switzerland, Mirka and I became proud parents of twin girls.”

Roger Federer,27 married Mirka,31 in April but he announced her pregnancy in March.

Federer met Mirka who was born in Slovakia,in 2000 when they were competing for Switzerland in the Sydney Olympics. Mirka and her family imigrated to Switzerland when she was a child. She played on the WTA Tour before she retired because of injury.She became one of Federer’s managers later after this.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

swali la kizushi..

24 Jul

Hoya kaka Tuny nina swali kwako na kwa wabongo wengine wanaoishi US,

Mimi ni mgeni kwa namna fulani hapa marekani(mwaka na nusu sasa) na nina girlfriend  mmarekani anayeishi na mama yake.Hivi majuzi nilikwenda nyumbani kwao kuspend time now for two days.Siku moja nilikuwa naoga na baada ya shower nilichukua muda wangu kujikausha fresh,then mama wa demu akaingia bafuni bila kugonga mlango.Kwa kweli mama huyu  aliweza kuona sehemu zangu nyeti kabla hajarudishia mlango wa bafuni.Tangu that day amekuwa akijaribu kunipa ishara za kimapenzi kiasi kwamba hata mwanae ameanza kustukia.Naomba mawazo yenu wadau,umri wangu ni miaka 24,demu ni 23,na mama yake nadhani ni kama 45 japo anaonekana kijana.

                    Mdau mwenzenu wa Kansas City,MO.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Kulikoni..?

22 Jul

Always michezo na amani…

Kulikoni tena kuugeuza uwanja huu kuwa kona ya masumbwi?Mkasa uliotokea jioni ya J5 kule Bel aire sio fresh kabisa.Kubishana na kurushiana maneno ya maudhi kwenye kikapu au mchezo wowote wenye ushindani ni jambo la kawaida ila kutupiana ngumi na kupigana vichwa sio mwake kabisa.I hope situation hii haitaharibu program ya kikapu kwa wengine.Tubadilike na kuwa kama watu wa taifa moja jamani,tunaomba yaliotokea jioni ya leo isiwe sababu ya watu kuchukia,isiwe sababu ya watu kuogopa kuja kucheza au kutazama kikapu,wala isiwe sababu kuanzisha mikasa mingine mtaani.Sisi sote ni ndugu na kurumbana kati ya ndugu na ndugu ni kitu cha kawaida,so please lets stop ugomvi and move on kama ndugu..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 3.0/10 (1 vote cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Bongo tambarare..

22 Jul

Kona ya maktaba…

Vikata anga vya hazina..

Majengo haya yaliighalimu serikali ya Tanzania mabilioni ya fedha ambazo hadi leo kuna hulakini juu ya ukweli wa ghalama kamili ya ujenzi.Kweli bongo tambarare..Mungu isaidie Tanzania na walalahoi wake,Amin.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Kariakoo…

21 Jul

Soko la Kariakoo now….

Biashara ya taxi imechukua sehemu kubwa kiasi kikubwa sana.Sehemu hii ilikuwa inamilikiwa na wachuuzi wa mboga mboga kabla akari wa jiji kuwatimua.Nini tofauti ya wachuuzi wa mboga mboga na hawa madereva taxi?

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Who is this lil man?

21 Jul

Take a wild guess to uncover this lil boy..

Somewhere by the ocean…

Riding a tricycle…who is this person?You can a win a prize if you get his name correct.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 6.0/10 (2 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Do you know why…?

17 Jul

Anybody knows about why it is like this for “sisters”?

“Sisters” are always tripping when a “brother” like Reggie Bush gets a fine chick like Kim Kardashian,or

Kobe Bryant and Vanessa (above) or something like….omg!!

 Ice T and Coco…?Can anybody straight us out please…?

For those who don’t get when I say “Sisters” or “Brothers”.Well,this is how African Americans call each other meaning she/he is somewhat,somehow my relative.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 4.0/10 (1 vote cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
No Comments

Posted in Drama, Sports