RSS
 

Archive for September, 2008

Heri ya Idd..

30 Sep

Heri ya Idd ndugu,jamaa,na marafiki popote mlipo.Jamaa zangu wa hapa wamekula Idd kimya kimya tu.Hivi yale mambo ya Idd mosi na Idd pili bado yapo?Kuuliza sio ujinga maana habari kama hizi zipo sana bongo sasa sijui kama hata kiwanja bado tunapiga “mosi” na “pili” kama kawa.Nadhani watu kama Shehari kitumbi,Said Said,na Ngomeni wanaweza kuwa na jibu sahihi kama kuna mosi na pili hata kiwanja.Anyways,nilikuwa nawatakia heri ya Idd jamaa zangu hasa waliweza kufunga Ramadhani.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Then usiku na Ali Kiba..

28 Sep

Baada ya mechi ya soka watu walipata nafasi ya kwenda kuburudika na concert kabambe ya Ali Kiba toka Bongo.Tazama baadhi ya images nilizoweza kuchukua nikishirikina na Reginard Asmani wa blog ya kila kitu.Wanasema the night was fiiiiiiiiiiine!!!Thanks to U-1 Entertainment for this.

Jamaicans hawakuchelewa kuuwasha moto jukwaani..


Then LBT n his Causin walishambulia jukwaa kama kawa…

My lil brother Kelvin na girl friend wake toka Dodge City,Ks walikuwepo pia.

Ali Kiba akielekea Jukwaani for his moment.


Jamaa anajua kushambulia stage..and he’s only 22 year old.

Masister-do toka Kenya,Jamaica,na wabongo went crazy..Soma 10 questions niliyopata kumuuliza Ali Kiba jana.They will be in my 10 Queries page baadae.Kibaji is Kipaji you can’t hide it.

Matumizi ya smart phones yalikuwa makubwa.Tegemea a lot of videos za Ali Kiba kwenye facebook,youtube,myspace etc.Stage ilipata taabu jana usiku.Kwa more images za Ali Kiba stay tuned na tunyfish.com,pia ingia  blog ya kila kitu.

LBT,Seki na Kisanko’s sisters Rosemary(L) na Angela in the middle.

Concert hii ilitawaliwa na watu wa mataifa mengine zaidi kama Kenya,Jamaica,na Malawi.Idadi ya wabongo haikuwa fresh kama ilivyotarajiwa.But peps had fun.

LBT na Seki toka H-town wakiwa wameweka pose na Ali kiba kabla ya Concert.

Buy any 4 Chocolate-Peanut bars and Get 5th FREE

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Matokeo Minn-4 Wichita-1..

28 Sep

Yap ni 4-1 jana na watu toka Minnesota waliochanganyika na watu toka New York,Huoston,na Kenya walifanikiwa kuizamisha Wichita jana jioni.Goli pekee la Wichita lilifungwa na Said Said.Over all timu combined(Minn.NY,H-town) ilicheza kwa kuelewana zaidi wakati Wichita walitumia muda mwingi kulaumiana(kama kawaida).Majeruhi,mfungo wa Ramadhani,kutojali kufuata muda,”majeshi” na lawama ndio hasa sababu kubwa ya kupigwa kipigo hiki cha mbwa.

Kikosi cha Minnesota…

Mpaka muda wa kuanza mechi unafika,first 11 ya Wichita ilikuwa na wachezaji 7 tu..

Lawama zikiendelea wakati wa half time kama kawaida kwa timu ya Wichita.

Ref Mack toka Nigeria aliweza kumudu mchezi bila msaada wa linesmen.

Ali Kiba alikuwa moja wa mashuhuda wa mechi ya soka.Did you know he plays soccer too?Soma 10 Queries baadae for more details za Ali Kiba.

Andrew toka H-town alikuja kutoa msaada kwa Minnesota.

Hadi mwisho Minnesota 4 na Wichita 1.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Mpambano wa Soka leo.

27 Sep


Ile mechi kati ya watanzania wa Wichita na watanzania toka Minnesota ita fanyika leo kuanzia saa 10:30 jioni.Pambano ili litafanyika kwenye viwanja vya Redburg Park viliopo 21st na Edgemoor(kiwanja cha nyumbani).Kumbuka timu hii ya Wichita iliibabua bila huruma timu ya wabongo toka Huoston 5-2 mwishoni mwa July.Wabongo wa Wichita na vitongoji vya jirani mnakaribishwa sana kushuhudia burudani hii,njoo kuishangilia timu yako.Patakuwa na vinywaji vya kila aina.

Buy any 4 Peanut bars from sky Free Milk, Get 5th FREE

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Help please…

25 Sep

Hello friends,

I was wondering if anyone can explain to me on how to transfer files like songs and videos from Ipod to your computer.I have tried different methods and none of them solved my problem.I will appreciate any kind of assist from anybody.Asante!

                                                  Mbongo mwezenu.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
1 Comment

Posted in Bongo news

 

Sarah Palin na pastor toka Kenya..

24 Sep

Yap,Sarah Palin Govenor of Alaska(R) in 2005 with Pastor Thomas Muthee.This lady has some issues.

Click on this link for a video clip Sarah Palin

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Check this out..

21 Sep

I had this from youtube and I would love to share with my pals especially you.Lough hard(don’t pee on your pants though) cause you deserve to do so and you can pass it to others.Just pay attention though out this clip…Click on the link below

 Funny car crush

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Don’t 4get…

19 Sep

For all my party peps…

Ile party ya kukata na shoka toka kwa jamaa zangu wa Mambo Entertainment ni kesho usiku hapa Wichita.Niliongea na DJ Bwimbo juu ya nini tutegemee usiku wa kesho kwa kweli this is one of those parties you don’t wanna miss.Kwa wanaomuelewa Dj huyu akishirikiana na DJs kama Salehe a.k.a DJ Slay basi they know nini anafanya when comes to Parties.Just be there kesho usiku and have some good time, kwa maelezo zaidi juu ya venue yapo kwenye banner hapo juu.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

How good is your BMI..?

18 Sep

   I have been asked multiple times with friends on how these health and fitness websites and magazines measure BMI. Well, in case you are not familiar with BMI which stands for Body Mass Index. This is a universal method for measuring how much fat our bodies contain. It is through this BMI where we can get to know which stage are we in weight-wise. It measures body fat based on height and weight that applies to both adult men and women. Many sites and magazines do not give out the formula used in obtaining the BMI.
 Basically, this is done through a simple math procedure; 1:Multiply weight in pounds by 0.45. So, if a person’s weight is 230, then it’s 230 x 0.45 = 103.5. 2:Multiply height in inches by 0.0254. If someone is 5 feet 5 inches (65 inches), then it’s 65 x 0.0254 = 1.651.Square the answer from step 2. In this case, 1.651 X 1.651 = 2.73. Then divide the answer from step 1 by the answer from step 3. So, 103.5 / 2.73 = 38.
Here is the sad part,this BMI is categorized into groups like this:
• Underweight = <18.5
• Normal weight = 18.5-24.9
• Overweight = 25-29.9
• Obesity = BMI of 30 or greater
Then,the person in our example is clearly in bad shape, that is obesity. Do you know your BMI?You may look great but BMI can prove you wrong. Do not judge people by their body shapes.Except when it gets to this point….

 Just remember,only numbers can do so and it is through BMI. Have a great day…!

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

In case you missed it…

15 Sep

Hii ilikuwa ni interview ya kwanza kabisa katika ukurasa wa “10 Queries” na nilipata nafasi ya kuongea na CEO wa U-1 Entertainment,George”Do-me” Jonas na mambo yalikuwa kama hivi:

Karibu kwenye ukurasa huu wa 10 Queries.Leo ndio mwanzo wa kumuweka ndugu yetu yeyote kwenye mazingira ya “kiti moto” na kumtupia maswali 10.Kwa kuanza tu nilipata nafasi ya kuongea na CEO wa U-1 entertainment ndugu George Jonas.Lets go…

Tunyfish:Miaka mingi sasa watu wengi wamekuwa wakikuita “Do-me”,nini hasa chanjo la jina hili?

George:Nilikuwa fan mkubwa wa kundi la Lost Boyz na walikuwa na verse fulani kwenye wimbo wao mmoja inayosema “nothing can do-me nara” pia hata Methodman alitumia kipande hiki kwenye verses zake.Since then Do-me likawa jina.

Tunyfish:Vipi life ya ubaba,shule,kazi na maisha kama msanii,unawezaje kumudu yote haya?

George:Ni kukubali challenges za maisha tu na kuweza ku-manage vitu vyao kwa wakati muafaka.

Tunyfish:Unaionaje jamii ya wabongo hapa(Wichita) overall ukilinganisha na miaka 2-3 iliyopita?

George:Naona tupo pamoja sana katika vitu vingi tofauti,ni ushirikiano fresh ambao kila mbongo anao tu.

Tunyfish:Nini kifanyike kuwaleta watu pamoja kama familia?

George:tuendelee tu kuwa brothers and sisters kama tulivyo sasa.

Tunyfish:Kwa uzoefu wako ulinao miaka yote hapa marekani,una ushauri gani kwa kijana aliyepo Tanzania mwenye ndoto za kuja hapa katika hali yeyote ile?

George:Nashauri kusoma kwanza huko kisha kuja kutafuta life hapa ila kama zina charge kichwani na una fedha za kuja kusoma huku basi ni poa ila tofauti na hapo sidhani kama itakuwa vyema kuja tu.Mambo mengi yamebadilika sana.

Tunyfish:Kama unapata nafasi ya kupiga kura katika uchaguzi wa hapa(USA) mwezi Novemba,kati ya Obama na McCain yupi ni chaguo lako?

George:Bila shaka Obama ndio chaguo langu.

Tunyfish:Mwezi huu wewe U-1 inamleta Ali Kiba hapa,what’s next?

George:U-1 entertainment tuna desturi ya kufanya confirmations kwa 97% kwanza kabla ya kuzamba habari ila mambo makubwa mengi yapo njiani.

Tunyfish:Mwanao Imani anakuwa sasa,je ungependa kuona anafuata nyayo zako au ?

George:Hapana,ningependa kuona anafanya kitu tofauti kabisa.Najaribu sana kumuweka mbali na nini nafanya.

Tunyfish:Tanzania kumekuwa na matatizo mengi sana hasa Ufisadi,je unafikiri Pres Jakaya Kikwete anamudu au ni porojo za kisiasa tu?

George:Inahitaji kujua na kufuatilia siasa ya kwetu hasa ili kujua nini kinaendelea ila mimi napenda kuona   sheria inatumika katika kutoa adhabu kwa hao mafisadi.

Tunyfish:Nini hasa kifanyike ili kumfanya mtanzania aliyesoma hapa kurudi Tanzania kufanya kazi?

George:Nadhani uraia wa hapa kwanza,then mambo mengine yatafuata.Anything can happen.

Tunyfish:Asante sana ndugu yangu kwa kukubali mahojiano haya.Blog hii inakutakia mafanikio mema.

Next kwenye page hii alikuwa Omary Mussa Lyimo click hapa 10Queries to read his ideas.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
1 Comment

Posted in Bongo news

 

Ibada ya msiba kesho..

15 Sep

Ndugu yetu David Markos amepanga misa fupi kwa ajili ya msiba wa dada yake uliyotokea huko Arusha.Ibada hii itafanyika nyumbani kwa Annlice Kaaya:925 South Governor Manor Apt # 204 Wichita,Ks,67207.Misa hii itaanza saa tatu na  nusu jioni(9:30 PM).Ndugu na jamaa wote mnakaribishwa kwenye misa hii.Kwa maelezo zaidi juu piga namba hizi;

 316-807-2651-David Markos au 316-371-5798-Annlice Kaaya. 

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Taarifa ya msiba.

14 Sep

Ndugu yetu David Markos wa hapa Wichita,Kansas amefiwa na dada yake Dorae Markos leo saa saba Mchana huko Arusha Tanzania.Marehemu alikuwa anasumbuliwa na Typhoid.Msiba kwa hapa Wichita utakuwepo nyumbani kwa dada Annlice  Kaaya na address yake ni 925 South Governor Manor Apartment # 204 na zip code yake ni 67207.Tafadhali mwambie mwingine juu ya msiba huu.

Mungu aiweke roho ya marehemu Dorea Markos mahali pema peponi,amen.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Only in Tanzania..

11 Sep

Technology in Bongo is rapidly peaking up, believe it or not this tricyle for disabled folks was made in Tanzania somewhere in Dar.This is according to that friend of mine who’s riding it.

Nowadays you can easily get your passport size photos taken under the trees.It will cost you almost $2 for 3 copies in 3 minutes.Yes I said 3 minutes..

Well,this is why most folks especially wabongo say “Bongo is tambarare“.There is nothing under the sun you can’t find in Bongo now. Just visit Tanzania whenever you can,it is fantastic.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
 

Tumetoka mbali..

10 Sep

Kweli life ni safari ndefu…

Tazama Phoniex(baiskeli) hiyo..Mambo ya Tabora in the late 80′s mitaa ya Kalunde Hospital.Mtu kama Omary Lyimo(Home boy) ananipata fresh.Kweli maisha ni mlima.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 
1 Comment

Posted in Bongo news

 

Jina Mohammed..

08 Sep

 Did you know that the most common names in the world are Mohammed and Mary? Though Mary is starting loosing it’s ground in the recent years but yet no other girl’s name has strongly replaced it. Mohammed still rocks for centuries now among boy’s names.

  In case you did know this then… Now you know!!

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark