RSS
 

Archive for the ‘tawichita’ Category

I finally did it..

25 Aug


My good deed of the month..

This was few weeks ago when I got to work and saw co-workers lining up for blood donation..I never thought about doing it but since it was about saving lives to those who real need blood.I think they got enough blood from me.Did I mention it was free?For those who never thought about donating blood but wish they could do something to save people’s lives,donating blood is one thing they should consider.It takes less than 15 minutes and you won’t even feel like something has been taken out of your body.Contact Red Cross near you for more info.

Photo was taken by Titi.


Buy Safe Eyes Parental Control Software

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Watoto Day..

15 Aug

A special day for our “kiddos”..

They learned some Swahili words from Rahma Kasembe.I wonder if they will still remember those words when they come again next year.

There were pretty of food and drinks for everyone who showed up..Pilau,Maandazi,macaroni and cheese,chicken,hamburgers,hot dogs,beans were served yeasterday.

Rahma and her hubby,Gilbert Kasembe are getting balloons ready for  the kids..

Kids get to have this kinda fun once every year and they real love it.My kids were asking me today if they could go back and play ..

Mrs Kasembe in action.Special thanks to TAWICHITA and Kasembe’s family.

There will be more photos in my photo gallery soon..Keep it locked right here pals!

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Watoto Day leo..

13 Aug

Kwa wanajumuiya wa Wichita..

Leo ni ile siku ya “Watoto Day” ambapo watoto wanapata nafasi ya kujumuika na kucheza pamoja.Tawichita inafurahi kukumbusha kuwaleta watoto leo Jmosi kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku.Address ni nyumbani kwa Rahma na Gilbert Kasembe 1218 S Stonebrook Circle, Wichita, KS 67207.

Kutakuwa na vinywaji,hamburgers,hot dogs,na chips.Sambaza habari please.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Jmosi usiku..

09 Aug

Baada ya Soka mambo yakaendelea Touch of Class..

Mambo Ent chini ya kamanda Bwimbo akishirikiana na TAWICHITA,waliweza kutoa burudani fulani kwa wenyeji na wageni wetu toka Houston.Hivi ni baadhi tu ya matukio usiku baada ya game ya soka kuisha.


Foleni ya vinywaji kama kawa..

Wakutanapo wabongo ni amani tu..ishara za amani all the time.Ulikuwa wakati muafaka wa kubadilishana mawazo na kuweka upinzani wa soka mbali.Overall,it was real nice.

Zile fununu za kuwepo mtanange mwingine wa soka kati ya timu hizi mbili zilikuwa “hewani” sana usiku huu,yap,tutawafuata Houston miezi kadhaa ijao mwaka huu.

Kwa picha zaidi ya matukio ya usiku huu,ingia kwenye photo gallery yetu zipo chini ya jina “After Party” au “bonyeza” hapa Matukio ya Usiku..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Wichita vs Houston jana..

08 Aug

Wakaja,wakacheza,wakapigwa 4-1….

Kikosi cha Houston kikipasha kabla ya mechi dhidi ya Wichita FC jana..

Full Muzik wa Wichita FC

Kikosi cha Wichita FC 2010..waswahili wanasema “usipime”…

Wana wa Houston..

Kikosi cha Houston kwenye picha ya pamoja kabla ya mtanange..

Mashambulizi langoni mwa Wichita FC yalikuwa mengi kipindi cha kwanza ambapo Houston walipata goli lao pekee toka kwa nyota wao Peter Bategeki..

Vuvuzela kama kawa..

Brother Lunda akiandaa Vuvuzela lake kabla ya mechi..

Wachezaji wa Houston wakishangilia goli..

Halftime na bechi la Wichita halikuwa na raha..Subs zilifanya na timu ikampa Houston 4.

Kamati ya Ufundi

Jerry na “uncle” Moses wakijadiliana juu ya game wakati wa mapumziko.Hawa ndio viongozi wa kamati yetu ya ufundi,job well done wazee..

Washabiki..

Wachezaji wa akiba na washabiki wa Wichita FC wakifuatilia game kwa makini..

Kipindi cha pili mpira uliamia langoni kwa Houston na mashambulizi yalizaa matunda..bao 4.Kwa kipigo hiki,Houston wamepoteza mechi mbili mfululizo dhidi ya Wichita FC.Mwaka 2008,Wichita FC iliibuka na ushindi mnono wa 5-2.Kuna “fununu” za kuwepo kwa mechi ya marudiano mwaka huu week end ya Thanksgiving ndani ya Houston.

Mwiba wa Houston..

Idd Ligongo(kushoto) alikuwa “mwiba” dhidi ya walinzi wa Houston.Goli mbili za mwanzo zilifungwa na mshambuliaji huu..Hii ilikuwa mechi yake ya kwanza toka amekuja toka Bongo.Hapakuwa na kubadilishana jezi baada ya mechi dhidi ya timu hizi pinzani,ila mikono na hugs kama kawaida ya wana sports..

Special thanks:kwa Emmanuel Massawe,Stepheno Mwendo kwa images za maana na shukrani nyingi kwa kikosi cha Houston kwa kukubali mwaliko wetu.These guys deserve some credits maana safari toka Houston kisha kupiga dakika 90 wakiwa na mchezaji mmoja tu wa akiba sio mchezo..

Kwa picha zaidi ingia kwenye photo gallery yetu hapo juu au click hapa picha zaidi..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Apology..

05 Aug

Samahani…it was my fault..

Kwa wadau wa blog hii hapa Wichita,Tanzania,na sehemu nyingine nadhani tunaelewa kulikuwa na maada moja “maada toka kwa mdau” ambaye aliomba ni-post mawazo au malalamiko yake hapa juu ya swala la misiba na michango.Baada ya kufikiria kwa kina na kupima uzito wa maada,comments zenu na emails toka kwenu;inanifanya nifikia hatua hii ya kusema “SAMAHANI” hasa kwa wale walioguswa au kukwazwa na maada ile by any means.Nimeiondoa maada ile ili kuepusha vikwazo na demages kwa jamii.Honestly,hili halikuwa lengo la blog hii hata kidogo ila “bad judgements” na kutopima uzito wa maada ndio sababu kubwa.Sometimes I wish I could have done it differently ila chapter hiyo ni history sasa.Nimewasiliana na watu kadhaa juu ya maada hii na inauma kusikia kwamba imegawanya watu kwa namna fulani.It angers me the most kwa sababu “motto” ya blog hii ni kuunganisha watu in different ways,iwe sports,harusi,birthdays,misiba n.k.

I am so sorry kwa wafiwa na wote waliokwazwa kwa namna yeyote ile.I am human and I make mistakes.Naomba wadau,wana jumuiya hapa Wichita na wapenzi wa blog hii popote mlipo,kosa langu hili lisiwe sababu ya kujenga uhasama au kuwa kwenye makundi au matabaka ya namna yeyote.Uhasama,marumbano,kutoelewana havijengi jamii hata siku moja bali ubomoa.So please lets open a new chapter na tusahau yaliopita.

Mdau wenu,Tuny Msuya.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 10.0/10 (3 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Uchaguzi wa Excutive Committee Tawichita..

31 Jul

Baadhi  ya wanachama wachache waliotokea..

Wanachama wakisikiliza maelezo toka kwa president Jerry Mkony.Maada nyingi zilijadiliwa na mikakati mingi kupangwa..

Baadhi ya kina dada waliojitokeza leo.Ni wanachama 19 tu walioweza kufika kwenye mkutano huu.Ingia kwenye website ya Tawichita kwa maelezo zaidi juu ya mipango mbalimbali ya chama kwa wanachama na jumuiya kwa ujumla,connections zilizopo kati yetu na NSSF,DICOTA,CRDB n.k katika kunufaisha watanzania waliopo nje.

President Jerry Mkony akitoa maelezo mawili matatu juu ya maada kadhaa zilizojadiliwa leo..

Clement Mtawala a.k.a Mazaza akipiga kura akiwa na mwanae Kisa..

Baadhi ya viongozi wapya wa Excutive Committee Joseph Kabukire,Angela Kisanko,na Stella Allen kwenye picha ya pamoja.

Hongera nyingi kwa Subira Mabuba aliyepata kura 17,akifutiwa na Stella Allen(16).Viongozi wengine waliochaguliwa leo ni Joseph Kabukire,Leonard Fungasha,na Angela Kisanko walipata kura 15 kila mmoja.Committee hii itakaa chini na kuchagua chairman/chairperson wao baadae.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Ze game..ze party..

29 Jul

Two-in-One..

Na mwenye macho haambiwi tule..hasiye na mwana aelekee jiwe..mgeni njoo mwenyeji apone au sio?Mbona kazi ipo next Sat!!This flier explains everything,big up to Bwimbo and Dennis Mbelwa on this one.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Mkutano wa Tawichita..

28 Jul

Uchaguzi wa Executive Committee July 31st..

Kwa wanachama na watanzania waishio Wichita,tunaombwa kujitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kuchagua viongozi wapya kwenye executive committee yetu.Mkutano unatarajiwa kufanyika Jumamosi hii kuanzia saa 10 jioni at Cessna Park.Kufika kwako mapema ndio kufanikiwa kwa mkutano huu,pia kutakuwa na maada mbalimbali za kujadili kama jumuiya.Kwa wale wenye maoni/ushauri/vi-dukuduku/mitazamo tofauti n.k,basi huu ndio wakati muafaka wa kujadili ili kufikia lengo letu la kujenga umoja na ushiriako wa nguvu tuliokuwa nao miaka ya nyuma.Please mwambie jamaa na marafiki kuhusu mkutano huu.

Kwa wale wasio wanachama hai kwa mwaka huu,bado hujachelewa kulipa ada ya uwanachama.Ni dola 30 kwa singles na 50 kwa couples.Wasiliana na kiongozi yeyote aliye karibu yako mara moja.Napokea michango kwa mtu yeyote atakayekuwa teyari.Tafadhali ingia kwenye website yetu TAWICHITA.NET kwa maelezo zaidi.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark