This is how Bang gets down in Sudan..
Please pay attention to the words he spits..I’m still cracking out from this youtube clip.Way to go Bang,represent your mamaland.He will be on tour around US soon plus he is working on his album.
Yap,hawa watu wanangoja huduma muhimu ila customer care represantive anapiga zogo kwenye “kilonga mbali” chake kuhusu week end.Huduma kama banks,posta,hospitali n.k zinapatika katika mazingira ya shida sana na sababu kubwa ni represantatives kama huyu.Inasikitisha kuona foleni sehemu kama banks tena kwenye sehemu ya kuweka fedha.I experienced it ndio maana na blog juu ya uzembe huu.
I’m glad kuona cartoonists wanafanya kazi nzuri kutoa picha kamili ya mambo muhimu kama haya.By the way,blog hii ipo mbioni kuanza kuwadhamini wachoraji wa katuni kuanzia 2011.
Source:Online wall street journal
Can TO and Chad Ochocinco live up to the hype.So far Cinci’s Bengals look pretty tight in their offense.TO,Chad,and Antonio Bryant as their wide receivers..QB Carson Palmer will have lots of options this season.Chad has already done his blah blah blah on winning it all.To him,if the Bengals won’t win Super Bawl,it will be a damn shame.TO and Chad claim to be good friends off the field and they both have some kinda reality TV shows on VH1.Chad is looking for a girlfriend/true love while TO is just showing his other side that football fans don’t have clue about it.From his dating experiences,switching towns(LA and NY),to babysitting kids.
I’m a die hard Pittsburgh Steeler and the Bengals are in our division.So,I have the rights to bash and talk sh!t about the Bengals.They humiliated my Steelers last season and now they bring TO “The Drama King” to our backyard.I wish he would turn to his old image and mess things up like he did in Dallas.I still two bulls never co-exist.Pressure is on for coach Marvin Lewis.
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Sadam(pichani juu) ameauwa kwa kupigwa risasi majuzi katika baa maarufu ya Angels’ Park iliyoko Ilala Sharief Shamba jijini Dar es salaam!! Kijana huyo inadaiwa kuuawa na mmiliki wa bar hiyo baada ya kundi la vijana wengi, akiwemo marehemu, kuvamia kwa lengo la kumpiga mwenye baa ili kulipiza kisasi! Mtandao huu umeeleza na mashuhuda kuwa, sakata lilianzia jana baada ya vijana wasiojulikana kudaiwa kumkaba mteja mmoja wa baa hiyo akiwa chooni na vijana hao kukamatwa na kuplekwa polisi ambako walishikiliwa hadi leo. Imedaiwa kuwa baada ya kuona wenzao wanasota rumande, pengine kwa sababu ya mmiliki wa huyo, waliamua kumfuata ili kulipiza kisasi kwa kumfanyia.Wakiwa kundi huku wameshika silaha mbalimbali vikiwemo visu, vijana hao walivamia baa hiyo na kuanza kumpiga mwenye baa na kumchoma kisu ambacho bahati nzuri hakikumdhuru sana. Kuona hali hiyo, mwenye baa alitoa bastola yake, akapiga hewani ili kuwatisha, lakini waliendelea kumfuata na kumshambulia huku wakiharibu mali za baa hiyo, likiwemo gari lake lililovunjwa kioo cha nyuma. Awali vijana wawili walipigwa risasi na kujeruhiwa na marehemu aliendelea kumfuata mwenye baa na ndipo alipopigwa risasi na kufa papo hapo!
Source: Global Publishers
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi,wakili wa kujitegemea,Mabere Nyaucho Marando akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam, leo.Kushoto kwa bwana Mabere Nyaucho Marando ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.
Wanasiasa wa Tanzania bwana wanasikitisha sana,wanaanza vizuri na moto ila wanapoanza kula ruzuku tu basi issues zinaanza kutokea.Kutoelewana na kukosa uaminifu baina ya viongozi nadhani inachangia sana usambaratikaji wa vyama vya siasa.Matokeo yake wanahama toka chama hadi chama kila siku.Mwisho wake wanarudi CCM,hawa jamaa “watatuzuga” mpaka lini?Leo CHADEMA kesho CUF then CCM na ubunge wa viti maalum juu…Siasa bongo bado.
Tazama ‘bazazi’ huyu akitoa kipigo kwa ‘mamsapu’ wake.Kwa watanzania na wakenya nadhani janga hili linaeleweka,baadhi ya kina baba kuchukua sheria mikononi na kutoa vipigo kwa wake au wachumba zao.Nimeshawahi kushuhudia dada mmoja akilia baada ya kipigo toka kwa bwana wake, kisa jamaa ametoka kazini na hapakuwa na chakula mezani,kuna wanaopigwa kwa makosa makubwa zaidi ya hili.Nini kifanyike kukomesha dhahama hizi kwa kina dada na mama hasa waliopo Tanzania ndani ndani huko?Huu ni ujanja au ujinga kwa kina baba wenye kupiga wanawake?Inaeleweka kuna baadhi ya mila au makabila yanayoendekeza uzalilishaji huu wa wanawake,eti kama mumeo hakupigi basi hakupendi,what?Tukumbuke tupo karne tofauti sasa.
Nadhani ni wakati wa kuwapiga wanawake zetu kwa vitu kama kanga,maua,kidani,nguo mpya n.k.Kwa waishio nchi zilizoendelea kama Marekani,tunaelea ni nini kitafuatia punde unaweka mikono yako kwa mwanamke wa aina yeyote.Hakuna mjadala hata kama kosa ni la mwanamke.Ni wakati mzuri wa kurekebisha sheria za mambo ya kifamilia na kutoa adhabu kali kwa ‘mibaba’ inayotandika wake zao.
This scenario happened during an international friend match between Brazil and Taifa Stars in Dar-es-Salaam.The guy wanted a hug from Kaka.
Look at that smile from Kaka #10..
There is that historic hug for that poor fela..
Then he turned around and headed to the stand..
Dude did not even have his shoes on.The game resumed and Brazil won 5-1.If this had to happen in the baseball game or football here in America,this guy could have bruises and funny sensations from teasers.He might ended up in jail or something.But,in Tanzania,things are different.People don’t believe in harming others especially in sport events like soccer matches.Just check for the word “peace” in the new dictionary,you will find a picture of Tanzania.God bless Tanzania.
Issue ya nani wanaongea kiswahili fasaha kati ya “baba mois” na wabongo nadhani bado ni utata.Uliza mkenya yeyote hapa kiwanja juu ya kiswahili chao,watakwambia wao ni best na wabongo tunajaribu tu,mmh.Ngoja nitatafuta some video clips za kina masakuu na Onyango kisha tupambanishe na wasanii kama mzee Jongo au Majuto…get ready wadau..