RSS
 

Archive for the ‘Kituko’ Category

Bang..50 Cent of Sudan..

31 Aug

This is how Bang gets down in Sudan.. 

Please pay attention to the words he spits..I’m still cracking out from this youtube clip.Way to go Bang,represent your mamaland.He will be on tour around US soon plus he is working on his album.


VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Customer Care Tanzania..

25 Aug

Moja ya sababu zinazozuia maendeleo ya Tanzania..

Yap,hawa watu wanangoja huduma muhimu ila customer care represantive anapiga zogo kwenye “kilonga mbali” chake kuhusu week end.Huduma kama banks,posta,hospitali n.k zinapatika katika mazingira ya shida sana na sababu kubwa ni represantatives kama huyu.Inasikitisha kuona foleni sehemu kama banks tena kwenye sehemu ya kuweka fedha.I experienced it ndio maana na blog juu ya uzembe huu.

I’m glad kuona cartoonists wanafanya kazi nzuri kutoa picha kamili ya mambo muhimu kama haya.By the way,blog hii ipo mbioni kuanza kuwadhamini wachoraji wa katuni kuanzia 2011.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

A cool President..

10 Aug

Pres Jakaya Kikwete rocks..

oops..

I think Tanzania’s president,Jakaya Mrisho Kikwete is one of the coolest presidents in our generation..Just look at him,he is so relax and calm.He can real stretch himself out when needed..Some people may have different opinions about his administration or some questions on how he runs Tanzania which is part of democracy.All in all,he is one hell of a kind and Tanzanians should be proud of.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Serial Killer with racial motive..?

10 Aug

A Serial Killer in Michigan and Virginia..targets blacks.

DETROIT—The FBI’s Detroit office on Tuesday joined the hunt for a serial killer believed to be responsible for the deaths of five men in and around Flint, Mich., as well as attacks on more than a dozen others in the Flint area and as far away as Leesburg, Va., in recent days.

The most recent murder victim, a 49-year-old, was found dead in Flint last week, bringing the number of attacks to as many as 20.

Another Flint resident, a 26-year-old man, came forward Monday to say he was attacked on July 27 by a person fitting a police description of the suspect.

In Ohio, a 59-year-old custodian taking a cigarette break outside the Toledo church where he works was stabbed repeatedly in the abdomen Saturday. He is in the hospital and is expected to survive. Both men said their attacker got out of his car and asked them for directions before stabbing them.

Initial reports had suggested that the attacker was targeting smaller men. But a Michigan State Police spokesman disputed that, noting that the 26-year-old Flint victim weighed about 175 pounds and is 5-foot-10.

“They’re all different sizes,” said Lt. John Card, the spokesman. “There have been some that were smaller in frame. It seems that he just does not distinguish.”

Michigan State Police released a composite sketch last Friday, based on witness accounts. The suspect was described as a white or possibly Middle Eastern male, 5-foot-8 to 5-foot-11, of muscular in build and in his early 30s. He has been described as driving a dark green Chevy Blazer or similar vehicle, possibly a late ’90s model.

State police here are leading the investigation of the Michigan incidents. More than a half dozen other local and county law-enforcement agencies in Michigan are also involved in the manhunt, as well as authorities in Ohio and Virginia.

Police in Leesburg, Va., about 40 miles northwest of Washington, D.C., say three unsolved attacks this month, including one with a hammer, closely mirror the pattern of the attacks in Michigan. Flint is about 50 miles north of Detroit.

FBI spokeswoman Sandra Berchtold said the agency is providing manpower, and technical and forensic assistance to state and local law enforcement. “We’re there to assist them with whatever we need to do.”

Although all but two of his victims were black, authorities in Michigan aren’t saying the motives of the killer are necessarily racial, though Virginia authorities believe them to be so.

“It doesn’t seem to make a difference,” Lt. Card said. Those attacked could be the victims of circumstance: Flint is a majority-black city, he noted.

Source:Online wall street journal

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Tanzania na “kilaji”…

04 Aug

Tunajenga Taifa au tunabomoa..?

Sijui ni lini watanzania tutakuja kupata picha kamili ya kuwa Taifa halijengwi kwa pombe bali kufanya kazi..

Ndani ya Dar-es-Salaam,kuna baa kila kona na zina wateja 24/7..Hivi hawa watu wanafanya kazi saa ngapi?

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Moving out..

31 Jul

Life ain’t pretty when its time to relocate..

Tandika to Kawe Juu..

There are no Uhauls over there,this is the only mean for those who can’t afford renting trucks.It’s not safe but it is what it is.I’m proud of this country.Nice people with beautiful smiles on their face all the time.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Ze game..ze party..

29 Jul

Two-in-One..

Na mwenye macho haambiwi tule..hasiye na mwana aelekee jiwe..mgeni njoo mwenyeji apone au sio?Mbona kazi ipo next Sat!!This flier explains everything,big up to Bwimbo and Dennis Mbelwa on this one.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

TO and chad Ochocinco..

29 Jul

TO is a Bengal now..What’s next in Cinci?

Ochocinco(85) and TO(81)..

Can TO and Chad Ochocinco live up to the hype.So far Cinci’s Bengals look pretty tight in their offense.TO,Chad,and Antonio Bryant as their wide receivers..QB Carson Palmer will have lots of options this season.Chad has already done his blah blah blah on winning it all.To him,if the Bengals won’t win Super Bawl,it will be a damn shame.TO and Chad claim to be good friends off the field and they both have some kinda reality TV shows on VH1.Chad is looking for a girlfriend/true love while TO is just showing his other side that football fans don’t have clue about it.From his dating experiences,switching towns(LA and NY),to babysitting kids.

I’m a die hard Pittsburgh Steeler and the Bengals are in our division.So,I have the rights to bash and talk sh!t about the Bengals.They humiliated my Steelers last season and now they bring TO “The Drama King”  to our backyard.I wish he would turn to his old image and mess things up like he did in Dallas.I still two bulls never co-exist.Pressure is on for coach Marvin Lewis.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Eat Da Poo Poo..

26 Jul

These Ugandans are craaazy..!!


President Obama got  involved in this video clip.I laughed so hard when I first watched it. For sure Ugandans got their lesson and no eating poops over there.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Sheria mkononi..?

25 Jul

Nani kavunja sheria hapa..?

Shaba kifuani..

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Sadam(pichani juu) ameauwa kwa kupigwa risasi majuzi katika baa maarufu ya Angels’ Park iliyoko Ilala Sharief Shamba jijini Dar es salaam!! Kijana huyo inadaiwa kuuawa na mmiliki wa bar hiyo baada ya kundi la vijana wengi, akiwemo marehemu, kuvamia kwa lengo la kumpiga mwenye baa ili kulipiza kisasi! Mtandao huu umeeleza na mashuhuda kuwa, sakata lilianzia jana baada ya vijana wasiojulikana kudaiwa kumkaba mteja mmoja wa baa hiyo akiwa chooni na vijana hao kukamatwa na kuplekwa polisi ambako walishikiliwa hadi leo. Imedaiwa kuwa baada ya kuona wenzao wanasota rumande, pengine kwa sababu ya mmiliki wa huyo, waliamua kumfuata ili kulipiza kisasi kwa kumfanyia.Wakiwa kundi huku wameshika silaha mbalimbali vikiwemo visu, vijana hao walivamia baa hiyo na kuanza kumpiga mwenye baa na kumchoma kisu ambacho bahati nzuri hakikumdhuru sana. Kuona hali hiyo, mwenye baa alitoa bastola yake, akapiga hewani ili kuwatisha, lakini waliendelea kumfuata na kumshambulia huku wakiharibu mali za baa hiyo, likiwemo gari lake lililovunjwa kioo cha nyuma. Awali vijana wawili walipigwa risasi na kujeruhiwa na marehemu aliendelea kumfuata mwenye baa na ndipo alipopigwa risasi na kufa papo hapo!

Source: Global Publishers

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 2.0/10 (2 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Mabere Marando to Chadema..

22 Jul

Siasa ya bongo..

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi,wakili wa kujitegemea,Mabere Nyaucho Marando akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam, leo.Kushoto kwa bwana Mabere Nyaucho Marando ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.

Wanasiasa wa Tanzania bwana wanasikitisha sana,wanaanza vizuri na moto ila wanapoanza kula ruzuku tu basi issues zinaanza kutokea.Kutoelewana na kukosa uaminifu baina ya viongozi nadhani inachangia sana usambaratikaji wa vyama vya siasa.Matokeo yake wanahama toka chama hadi chama kila siku.Mwisho wake wanarudi CCM,hawa jamaa “watatuzuga” mpaka lini?Leo CHADEMA kesho CUF then CCM na ubunge wa viti maalum juu…Siasa bongo bado.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Nabii Tito..

20 Jul

Nabii Tito ndani ya nyumba..

Kama hujawai kumsikia “Nabii Tito”,basi worry no more,huyu hapa in “full throttle”.Najua wakina fulani watapenda manabii kama huyu…”Tukonge” sio?!

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Sheria na mwanamke..

20 Jul

Swala hili la kupiga kina dada vipi..?

Tazama ‘bazazi’ huyu akitoa kipigo kwa ‘mamsapu’ wake.Kwa watanzania na wakenya nadhani janga hili linaeleweka,baadhi ya kina baba kuchukua sheria mikononi na kutoa vipigo kwa wake au wachumba zao.Nimeshawahi kushuhudia dada mmoja akilia baada ya kipigo toka kwa bwana wake, kisa jamaa ametoka kazini na hapakuwa na chakula mezani,kuna wanaopigwa kwa makosa makubwa zaidi ya hili.Nini kifanyike kukomesha dhahama hizi kwa kina dada na mama hasa waliopo Tanzania ndani ndani huko?Huu ni ujanja au ujinga kwa kina baba wenye kupiga wanawake?Inaeleweka kuna baadhi ya mila au makabila yanayoendekeza uzalilishaji huu wa wanawake,eti kama mumeo hakupigi basi hakupendi,what?Tukumbuke tupo karne tofauti sasa.

Nadhani ni wakati wa kuwapiga  wanawake zetu kwa vitu kama kanga,maua,kidani,nguo mpya n.k.Kwa waishio nchi zilizoendelea kama Marekani,tunaelea ni nini kitafuatia punde unaweka mikono yako kwa mwanamke wa aina yeyote.Hakuna mjadala hata kama kosa ni la mwanamke.Ni wakati mzuri wa kurekebisha sheria za mambo ya kifamilia na kutoa adhabu kali kwa ‘mibaba’ inayotandika wake zao.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Tanzania..a symbol of peace.

18 Jul

Just imagine what would have happened to this guy if he did this in Spain,or USA..

This scenario happened during an international friend match between Brazil and Taifa Stars in Dar-es-Salaam.The guy wanted a hug from Kaka.

Look at that smile from Kaka #10..

There is that historic hug for that poor fela..

Then he turned around and headed to the stand..

Dude did not even have his shoes on.The game resumed and Brazil won 5-1.If this had to happen in the baseball game or football here in America,this guy could have bruises and funny sensations from teasers.He might ended up in jail or something.But,in Tanzania,things are different.People don’t believe in harming others especially in sport events like soccer matches.Just check for the word “peace” in the new dictionary,you will find a picture of Tanzania.God bless Tanzania.

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark
 

Wakenya na kiswahili..

17 Jul

Tazama “majirani” zetu hawa na kiswahili..

Issue ya nani wanaongea kiswahili fasaha kati ya “baba mois” na wabongo nadhani bado ni utata.Uliza mkenya yeyote hapa kiwanja juu ya kiswahili chao,watakwambia wao ni best na wabongo tunajaribu tu,mmh.Ngoja nitatafuta some video clips za kina masakuu na Onyango kisha tupambanishe na wasanii kama mzee Jongo au Majuto…get ready wadau..

VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0.0/10 (0 votes cast)
VN:F [1.9.3_1094]
Rating: 0 (from 0 votes)
Share This Post
  • Share/Bookmark